ONE ON ONE NA TOMMY T KE & PAPA ZUCCH

Mahojiano ya moja kwa moja na wasanii wawili tajika. Tommy T Ke ni mtaalamu wa nyimbo za bongo naye Papa zucch anafanya nyimbo za Hiphop. Pata kusikiliza kazi yao mpya pamoja na malengo yao kwenye sanaa.

Om Podcasten

Tunaangazia baadhi ya interview kubwa zaidi kuwahi fanywa ndani ya ' African Mashup '. Pata kuenjoy mahojiano ya moja kwa moja na wasanii tajika hapa Afrika.